Posted on: October 1st, 2025
Wananchi wilayani Kilosa wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kufanya uchunguzi wa saratani ya matiti, ili kuweza kubaini ugonjwa huo mapema na kuanza matibabu kwa wakati.
Wito huo umetolewa ...
Posted on: September 28th, 2025
Timu ya usimamizi wa Miradi kuanzia ngazi ya Shule na Halmashauri wametakiwa kusimamia kwa karibu miradi inayotekelezwa na kufanya tathimini kwa kila hatua ili kuepuka matumizi mabaya ya r...
Posted on: September 28th, 2025
Halmashauri ya wilaya ya kilosa imefanikiwa kuchanja mbwa wengi dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa katika kampeni maalumu ya wiki ya kichaa cha mbwa ambayo kilele chake kimefanyika katika kijij...